Wednesday 27 April 2011

RAIS KIKWETE KATIKA SHEREHE ZA MAPINDUZI


rais kikwete akipigiwa mizinga 21 na jeshi la wananchi

rais akikagua gwaride
rais kikwete akisalimiana na mama abed karume

rais kikwete na rais wa zanzibar dr shein wakisalimiana

JOKES
hapo ni kama jk anasema
kikwete:"yakhe naona mambo yako mazuri siku hizi hatukaribishani"

shein:"aaah njaa tu mzee usione suti hizi"

No comments:

Post a Comment