Thursday 26 August 2010

KIBAKA ADAKWA UTAAAMU KWENYE PICHA AKIIBA BEGI


"hey cheez smiile". family hiyo ikipozi kwa picha.
unamuona jamaa kulee nyuma subiri....... 
 ahaaaa,nimekubamba we unatafuta nini humo na begi sio lako???
kibongobongo hapo angekula ,makofi ngwara,vitofa nyundo mpaka analegea kisha mnatafuta peteroli na kibo matches mnamalizia.

hapa inasemekana hii family walikua wametegesha automatic camera na kuweka pozi ili wapige picha.kumbe nyuma yao kuna jamaa alikuwa anawalia timming aibe. jamaa akakwara bag kisha akatokomea wenyewe hawana habari.wenye mali baada ya kugeuka wachukue bag limekwenda dooh.bahati nzuri mwenye bag akakumbuka kama labda amemshoot jamaa pia.na kweli bwana akamwona mwizi wake vizuuuuri sana ndani ya picha.kibaka alipoiba alitupa bag na zagazaga nyingine zisizo maana ndani lakini akaiba ipad,car keys,wallet ikiwa na ma credit card kibao,funguo za hotel na fweza(dolare) cash kibao akatereza.baada ya mwenye mali kumuona mwizi wake kwenye picha kilichofuata ni kuwapa picha tu polisi na haikuchukua muda mwizi akatiwa kibindoni.maana bado alikuwa akizagaazagaa maeneo hayo.

2 comments:

  1. wacha mambo yako ya Globen dola hazikai kwenye bag ulaya

    ReplyDelete
  2. sawa kaka we huwezi kuweka kwenye bag sababu una njaa,wenye nazo wanaweka kwenye bag.

    ReplyDelete