
MITAA YA MSIMBAZI

Waandamaji

Mtaa wa Livingstone karibu na I&M Bank

Wanajeshi wakifanya doria maeneo ya Kariakoo.

Kariakoo

Maktaba House.




BAHARINI KARIBU NA IKULU KINA RAS KUNJA WAMEPIGA KAMBI


POSTA MPYA BADO KULIKUA SHWARI
HAYA NDIO YANAYOJIRI HUKO NYUMBANI,HAWA WENZETU NAONA WAO NI KULALAMIKA TUU KILA WANACHOFANYIWA KIWE CHEMA AU KIBAYA,KWA HALI HII NADHANI MUDA SI MREFU WANACHOTAFUTA KITAPATIKANA,SASA NCHI IMEFIKIA MAHALI HAPA SI MZAHA TENA,WENZETU NAONA WAMECHOKA KULA UGALI NA NGURU SASA WANAAMUA TU IWE VURUGU NA IWE,HIVI MTU UNATOKA SWALI KISHA UNAENDA KUANDAMANA MTAANI KWA AJILI YA MUHAMASISHAJI WA FUJO MMOJA ILI IWEJE,MAMBO KAMA HAYA INATAKIWA UTUMIE HATA ELIMU DUNIYA KIDOGO TU UTAYAEPUKA,SASA HAPO HAO JAMAA WAKIPIGWA MWAKA JAPO MMOJA MMOJA TU KWA KUVURUGA AMANI HATA HIYO DINI SIJUI KAMA WATAENDA KUIHUBIRI JELA,MAANA KULE WATAKUTANA NA MAHAFIDHINA WATAISHIA KULIWA KIBOGA TU,TENA NA KANZU HIZO KAMA HAWAJAVAA BOXA KAZI WANAYO HUKO SEGADANCE,HAYA TUNAWAACHIA WAO WABABE BANA,SIJUI NA WAKRISTO WAKIAMUA LIWALO NA LIWE KAMA KUTAKALIKA
No comments:
Post a Comment